GAZETI LA UCHAMBUZI MAKINI LENYE KUIHUSU NA KUIGUSA JAMII. NI GAZETI LA KILA WIKI. LITAANZA KUONEKANA MITAANI JUMANNE, MACHI 31, 2009. USIKOSE NAKALA YAKO!
Wednesday, November 11, 2009
Mazungumzo Na Rais Wa Chama Cha Walimu Tanzania




Bwaana Gratian Mkoba. Ofisini kwake Makao Makuu ya Chama hicho leo mchana. Mazungumzo yalihusu masuala ya ushirikiano hususan katika eneo la mafunzo kwa walimu. Bi. Gunnel lifstead kutoka Sweden ni Mjumbe wa Bodi ya Chama cha Walimu nchini Sweden na aliwahi kuwa Makamu wa Rais wa chama hicho cha walimu cha nchini Sweden.
 
©Maggid | Date:11.11.09 | Permalink| | Send To Your Friend |


Comment: 3


  • Date: Thu Nov 12, 02:57:00 AM EAT, Blogger Edgar

    Kama watanzania waliopata kufundishwa na Mwl. Nyerere mi pia najivunia kuwa Mr. Mukoba alikuwa mwalimu wangu (simlinganishi na Mwalimu Nyerere). He is THE BEST TEACHER I'VE EVER HAD -- hands down. Natumai anatimiza majukumu na malengo ya uongozi wake vyema.

     
  • Date: Thu Nov 12, 08:35:00 AM EAT, Anonymous Anonymous

    YAANI WATANZANIA TUSIPOKUWA MAKINI NA HAWA WATU WANAOITWA WAZUNGU, MTAKUJANIAMBIA./

    HAWA WATU HAWANA JEMA NASI.

     
  • Date: Fri Nov 13, 03:04:00 AM EAT, Anonymous Anonymous

    wanakuja na style mpya, mababu zao walikuja kwa njia kama wafayanya biashara, wanadini n.k. bado wanatawala kwa staili mpya.

     
   
 
Copyright 2006 © MAGGID MJENGWA. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu