Date: Fri May 16, 12:59:00 PM EAT, Anonymous
Sasa hawa wanacheza draft kazi wanafanya saa ngapi? Ukiwaita vibaka, wanagomba, lakini kwa mizinga hawa, "anko! Jiti!" Pumbavu kafanyeni kazi huko.
Date: Fri May 16, 04:42:00 PM EAT, Anonymous
wewe panya unayepayuka hapo juu hata sijui nikuanzie wapi. Kwa ufupi wewe huna akili, kima wee
Date: Sat May 17, 12:40:00 PM EAT, Anonymous
Kama wewe umeweza kuelewa lugha ya Kima na wewe Kima, tatizo shule, kama Kima ungeelewaje Kima anachoongea. Huna akili pumbavu wewe. Fanya kazi
Date: Sat May 17, 12:41:00 PM EAT, Anonymous
Wewe mtowa post wa kwanza wewe kweli pimbi!kwataarifa yako hao jamaa ni chapa kazi wa nguvu ila hizo kazi hazipo sasa wafanye kazi gani wacha kuwakejiri.
Date: Sat May 17, 01:51:00 PM EAT, Anonymous
Basi samahani, nafuta kauli yangu. sirudii tena.
Date: Sat May 17, 02:50:00 PM EAT, Anonymous
Sasa jina halisi la mtoa maoni wa kwanza ni Pimbi, Kima au Panya? Maana kila mtu kamwita kivyake, duh
Sasa hawa wanacheza draft kazi wanafanya saa ngapi? Ukiwaita vibaka, wanagomba, lakini kwa mizinga hawa, "anko! Jiti!" Pumbavu kafanyeni kazi huko.